KAMBI YA WAAMINI ZANZIBAR 6-8/3/2026

Kipekee nichukue nafasi hii kukukaribisha kwenye makusanyiko yetu hapa Kigamboni.

Uhakika ni kwamba utapata muda wa kutosha kuomba na kujifunza:

      •  
      • Utafundishwa kuomba na kuelekezwa. Siyo tu kuomba ila kuomba sawa sawa na maagizo ya kimaandiko na kuomba katika Roho. Kama hujawahi kunena kwa lugha utasaidiwa pia.
      •  
      • Utapata muda wa kujifunza Neno la Mungu kwa muda wa kutosha tena kwa uchambuzi wa maandiko siyo maneno ya mtaani na “breaking news”. Utafundishwa kwa utaratibu — “systematically” kwa ushahidi mwingi wa maandiko.
      •  
      • Utahudumiwa na kujifunza kuwahudumia wengine.
      •  
      • Utaandaliwa kujua Neno la Kweli na kufundisha hatua kwa hatua namna ya kuwafikia wengine.

KAMA UNATAFUTA KANISA LA AINA HIYO…

Basi umepata.

Karibu Global Family Gatherings — KIGAMBONI

 

— Global Family Gatherings.

     “God’s Standards”